Imba na akina Ngedere, Mama Ndege, na Uncle T kuhusu Desimali! Desimali ni muhimu, jamani! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids
आपको ये भी पसंद आ सकते हैं
Akili and the River | Read with Akili and Me | Educational Cartoons for Preschoolers
Kiduchu Shupavu! | Videos of Kiduchu from Ubongo Kids
Exploring Tamaa, Being Curious with Ubongo Kids! | Swahili Verses | Ubongo Kids
Animal Alphabet | Akili and Me African Cartoons | Animals from Africa... and around the World!
WELCOME TO THE KENYAN HISTORIAN | Kenya's Ultimate Channel for Captivating Documentaries. | Thank You
Read with Akili and Me | Cartoons for Preschoolers | African Cartoons
Primary 1 English
Primary 6 English
SS 3 English
Pry2 English
The Alphabet in Magical Lands
Learn Colors, Numbers, Shapes and Letters with Ms Rachel
Pry5 English
Primary 2 English
Learn English with Movies
Learn To Talk with Ms Rachel
Learn English with PODCASTS
Primary 5 English
JS 3 English
Read with Akili
Ms. Rachel | Netflix Jr
Stories with Ubongo Kids! | Swahili Episodes | Ubongo Kids
Mwanga, Mwanga! - Ubongo Kids Singalong - African Educational Cartoon
Akili Loves to Read | Read with Akili and Me | Educational Cartoons for Preschoolers
टिप्पणियाँ
1 टिप्पणियाँ
Imba na akina Ngedere, Mama Ndege, na Uncle T kuhusu Desimali! Desimali ni muhimu, jamani! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids
