Kiduchu ni msichana wa kipekee! Angalia video zake hapa hapa na Ubongo Kids! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
आपको ये भी पसंद आ सकते हैं
WELCOME TO THE KENYAN HISTORIAN | Kenya's Ultimate Channel for Captivating Documentaries. | Thank You
Evolution of Nairobi: The Future of Transportation Trailer
The First Time William Ruto Used the Presidential Military Chopper After Becoming President of Kenya
Read with Akili and Me | Cartoons for Preschoolers | African Cartoons
Primary 1 English
Primary 6 English
Primary 2 English
Year2 English
Grade 2 English Spelling Words
Oral English
Grade 1 English
Primary 3 English
Year4 English
Learn With Ms Rachel - Learn To Talk - Baby, Toddler and Preschool Learning
Learn English with Music
PrePrimary English
JS 1 English
JS 3 English
Level 9 English | Little Fox
Ubongo Kids + Mothers Against Malaria - The Mosquito Army
Minimal Pairs Lesson 9 - English Form 4 Topic 3: Listening & Speaking - KCSE Lesson Notes & Videos
JS 2 English
Level 6 English | Little Fox
Akili and the River | Read with Akili and Me | Educational Cartoons for Preschoolers
टिप्पणियाँ
1 टिप्पणियाँ
Kiduchu ni msichana wa kipekee! Angalia video zake hapa hapa na Ubongo Kids! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia:
