Bila sisi kuzingatia usafi wa mazingira dunia yetu itaaribika! Tujifunze zaidi kuhusu usafi wa mazingira kupitia huu wimbo wa Ubongo Kids! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids
آپ کو یہ بھی پسند آ سکتا ہے
Ms. Rachel | Netflix Jr
Pry2 English
The Alphabet in Magical Lands
Year 2 | English Lessons
Primary 5 English
Language Arts Videos for Kids
✍️ Four Types of Sentences & Language Arts Fun!
🎉 Nouns, Verbs & Adjectives for Kids: The Ultimate Word Adventure! 🚀
JS 1 English
SSS 1 English
JSS8 English
Learning for children
Akili and the River | Read with Akili and Me | Educational Cartoons for Preschoolers
Kiduchu Shupavu! | Videos of Kiduchu from Ubongo Kids
Exploring Tamaa, Being Curious with Ubongo Kids! | Swahili Verses | Ubongo Kids
Animal Alphabet | Akili and Me African Cartoons | Animals from Africa... and around the World!
Read with Akili and Me | Cartoons for Preschoolers | African Cartoons
MATHS TOPIC QUESTIONS
ECZ MATHS GRADE 12
MILITARY AND WAR: Inside British Army Training Camp in Kenya. Why #BritishArmy /Soldiers Are Here.
Primary 1 English
Primary 6 English
SS 3 English
Primary 2 English
تبصرے
1 تبصرے
Bila sisi kuzingatia usafi wa mazingira dunia yetu itaaribika! Tujifunze zaidi kuhusu usafi wa mazingira kupitia huu wimbo wa Ubongo Kids! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids
