Dua Lagu "Vipimo" | Nyanyi dengan Ubongo Kids | Ayat-Ayat bahasa Swahili
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
Mungkin Anda Juga Suka
MATHS TOPIC QUESTIONS
GRADE 8 MATHEMATICS
Grade 10
GRADE 9 MATHEMATICS
Algebra I | High School Math | Khan Academy
Counting Songs for Kids
رياضيات | الصف الثاني الابتدائي | المنهج السعودي | العام 1444 ه الترمين
Cara Mengurangi Desimal
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
Statistics I - Mathematics Form 2
FORM 2 MATHS - TAFA ACADEMY
PrePrimary Maths
MATHS SHORT COURSES
Grade 4 Math Lessons Topic 1: Whole Numbers
All CBC Grade 4 Math Lessons | EasyElimu
KCPE MATHS 2018
ECZ MATHS GRADE 12
ANGGOTA DAN PERANG: Di Dalaman Kamp Latihan Angkatan Darat Inggris di Kenya. Mengapa #BritishArmy /Prajurit Di Sini.
Hidup Idi Amin Dada: Pria yang Memerintah Uganda dengan Pukul Besar
Hari Osama Bin Laden's Al Qaeda Menyerang Kenya
Celebrating STEM: counting and multiplication
Year1 Maths
SSS12 Math
SSS11 Math
Komentar
1 Komentar
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
