Imba na akina Ngedere, Mama Ndege, na Uncle T kuhusu Desimali! Desimali ni muhimu, jamani! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids
Vous aimerez aussi
Akili and the River | Read with Akili and Me | Educational Cartoons for Preschoolers
Animal Alphabet | Akili and Me African Cartoons | Animals from Africa... and around the World!
Stories with Ubongo Kids! | Swahili Episodes | Ubongo Kids
Mwanga, Mwanga! - Ubongo Kids Singalong - African Educational Cartoon
Read with Akili and Me | Cartoons for Preschoolers | African Cartoons
MATHS TOPIC QUESTIONS
ECZ MATHS GRADE 12
MILITARY AND WAR: Inside British Army Training Camp in Kenya. Why #BritishArmy /Soldiers Are Here.
Primary 1 English
Primary 6 English
Primary 2 English
PrePrimary English
Kiduchu Shupavu! | Videos of Kiduchu from Ubongo Kids
Exploring Tamaa, Being Curious with Ubongo Kids! | Swahili Verses | Ubongo Kids
Be Curious with Ubongo Kids! | Africa's Favorite Educational Cartoon
Akili's Favorite Songs! | Akili and Me | Song Compilation
Primary 3 English
KS1 English
Learn English with PODCASTS
Learn English with Celebrities
SS 1 English
JS 3 English
KS2 English
Year3 English
Commentaires
1 commentaires
Imba na akina Ngedere, Mama Ndege, na Uncle T kuhusu Desimali! Desimali ni muhimu, jamani! Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya AkiliandMe inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids
