Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
قد يعجبك أيضًا
WAEC 2019 MATHS QUESTIONS THEORY
FORM 2 MATHS - TAFA ACADEMY
MATHS SHORT COURSES
Grade 4 Math Lessons Topic 1: Whole Numbers
MILITARY AND WAR: Inside British Army Training Camp in Kenya. Why #BritishArmy /Soldiers Are Here.
The Life of Idi Amin Dada: The Man Who Ruled Uganda with an Iron Fist
The Day Osama Bin Laden's Al Qaeda Bombed Kenya
Read with Akili and Me | Cartoons for Preschoolers | African Cartoons
MATHS TOPIC QUESTIONS
ECZ MATHS GRADE 12
GRADE 8 MATHEMATICS
PrePrimary Maths
Grade 10
GRADE 9 MATHEMATICS
Grade 6 Math
THREE LANGUAGES!!! Arithmetic for the Wise | Song with Ubongo Kids | Swahili Proverbs
class 6 mathematics of Sindh text book board
رياضيات ( استاتيكا ) منهج مصري ثالث ثانوي العام 2017 - 2018
Elementary Math Course
3rd Grade Math Fun: Review & Mastery Made Easy! ➕🎉
Statistics I - Mathematics Form 2
Pry 3 Primary Mathematics
Mathematics class
Grade 11 Mathematics
التعليقات
1 تعليق
Ubongo Kids inamjenga mwanao, ikimpa fikra komavu zitakazomwezesha kutambua kusudi lake masomoni na maishani! Njoo nasi Kokotoa, ukajifunze kutumia uwezo na utashi wako kusuluhisha changamoto zinazokukabili ili ufike pale utakapo! Ubongo Kids ni mfululizo wa hadithi za kusisimua zilizo katika mfumo wa elimu-burudani kwa ajili ya watoto wa miaka 7 hadi 13, zikitumia nyimbo na maudhui ya Kiafrika kuwafundisha hisabati na sayansi! Katuni hii mahususi ya elimu inaandaliwa na Ubongo Learning, ambao pia ni watengenezaji wa kipindi murua ya Akili and Me inayowaandaa watoto wa miaka 3-6 kwa ajili ya kwenda shule! Tazama Ubongo Kids kila Jumamosi na Jumapili saa 3 asubuhi kupitia TBC1! Pata pia webisodes zetu zote kupitia: /ubongokids Created by Ubongo, the Tanzanian social enterprise that entertains kids to learn and love learning! Made possible by the Human Development Innovation Fund, funded by UKAid.
